News

Wastaafu wanaopokea Pensheni kwenye Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) wamekumbushwa kuwa endapo mstaafu ...
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ismail Ali Ussi, amewapongeza Wakala wa Maji safi na Usafi wa Mazingira (RUWASA), ...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewapongeza vijana wanaojiajiri kwa kufuga samaki kwa kutumia vizimba na kutaka wengine waige ...
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewakumbusha wawekezaji kuhakikisha wanakuwa na cheti cha ...
KARIBU tena msomaji wangu tuendelee kupata siri za ushindi katika maisha yetu ya kila siku. Kwa wanaofuatilia safu hii, ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ametembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu, kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na ofisi ...
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Singida, Fatma Mganga, ameiomba Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao mchanganyiko (COPRA), kuweka ...
MKURUGENZI wa Rasilimali wWatu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Khadija Mwago, amechukua fomu ya kutia nia ya Ubunge ...
MKULIMA wa mazao ya bustani kutoka mkoani Manyara, Shaban Manota, anatarajia kuzindua mifumo ubunifu kiteknolojia katika ...
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesema kwamba mpigakura ambaye atakuwa nje ya kituo alichojiandikisha na kutaka ...
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, amepokea Mbio za Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha.
WAKATI Bunge likitarajiwa kuvunjwa rasmi leo, baadhi ya wananchi wameweka masharti ya wawakilishi wao wajao wawe ni wenye ...